Tuesday 17 May 2016

Sauti ya wanawake wa jamii ya asili ni muhimu katika meza ya maamuzi:Bi. Leshore


Bi. Irene Leshore.(Picha:Idhaa ya Kiswahili/G.Kaneiya)
Ni muhimu akina mama watambulike na wapatiwe nafasi katika kuchangia maswala muhimu ya jamii kwa sababu mara nyingi wanawake wanabaguliwa na hali hiyo inakuwa mbaya zaidi kwa wanawake kutoka jamii za asili. Hiyo ni kauli ya Bi Irene Leshore, ambaye ni mwanamke wa jamii ya asili ya wasamburu kutoka Kenya.
Akizungumza kandoni mwa mkutano watu wa jamii asilia unaoendelea hapa New York, Bi Leshore ambaye ni mjumbe wa bunge kaunti ya Samburu anasema wanawake wanapaswa kushirikishwa katika uongozi kwani
(Sauti ya Irene)
Halikadhalika Bi. Leshore amezungumzia dhana ya jamii husika kuhusu uwezo wa wanawake kuwa viongozi

No comments:

Post a Comment