Sunday 10 April 2016

Kiafrika Zaidi - Traditional Nguo Za Different African Countries

There's nothing kizuri kama kuenzi Uafrika wetu. Na pamoja na kukuza na kuendeleza cultures na tabia zetu za Kiafrika, Kuna mambo ya msingi ambayo tunachukulia poa. Mavazi ya Kiafrika ni mojawapo. Acha pembeni food (another topic for another day). Coz kwa mavazi tu someone anaweza ku conclude what kind of person you are. Ukiwa umevaa nguo za Kiafrika kama mwafrika - immediately mtu anajua wewe uko very proud of being an African. 

Nilichofanya nimetafuta National dresses za different African countries ili at least me na wewe tushoneshe na kuringa nazo. MAnake ubunifu wetu umeishia kuiga tu za Kinigeria zaidi wakati kuna Mataifa kibao Africa! Hehhehe...
Ps.. Ukizingatia kua kuna nchi kibao ndani ya bara la Africa - we can't finish all these countries kwa siku moja. So huu utakua mfululizo... Twende taratibuuuuu...

  1. Algeria 

                                                     For Ladies.....

                                                     Kwa wakaka...

Pia nimeona wadada wanavaaa a loooooot of jewellery ......




2. Angola
Ladiiiiiiieeessss - nawatonya... Etiiiiii huko Angola population yao ni 56% wanaume na 44% wanawake.. Haya kama unatafuta mume wa peke yako nenda huko - just don't forget to  learn Portugues! Hahahahahah!
Nimepata this pic kutoka kwa Bella Naija ambapo Nelsa Alves Miss Angola 2009 alivaa katika mashindano ya Miss World kama National costume

                                                         


3. Benin
Benin ni nchi iliyoko West Africa. Ni nchi maskini, mara nyingi utakuta watu wa huko wakivaa rags. But wenyewe wanasema unaweza wewe kama mgeni kununua Beninese fabric ukapeleka kwa fundi ushonewe nguo zao - Bubus na Bombas. Hazina tofauti sanaaa na nguo za Nigeria... 





4. Botswana
Nikiskia Botswana nawakumbuka Makhirikhiri!!!!!

Tafuta ngozi.. Sjui ni ya ngombe au mbuzi au swala.. Humo humo tu.. Hehehhe Kwa kweli You will never find me wearing that, Hata nikipewa bure! Mweee!!!

5. Burkina Faso
One of nchi maskini zaidi Duniani...
                                         
Ilikua ngumu sana kutafuta Natioonal costume ya Burkina - Ila kwa vile ni West Africa - most countrieas za kule wanavaa nguo za kufanana kama Nigeria ( nimetaja Nigeria coz wengi wetu tunafahamu nguo zao and tunazimiliki) Anyway cha kusikitisha ni kua wanawake wa Burkina Faso wanapitia a lot of social, economic pamoja na political discrimination. Kwa mfano - Hawapati urithi sawa wala haki za Kisheria sawa na wanaume. Rates za wanawake wasojua kusoma na kuandika ni mara mbili zaidi ya men na a very large percentage ya wanawake wana maambukizi ya HIV/AIDS...

Tuwaombeee....
Be blessed. 

No comments:

Post a Comment