Monday 3 July 2017

MADHARA YA MIMBA ZA UTOTONI, UZAZI CHINI YA UMRI WA MIAKA 18 WANAWAKE. (MWANAMKE/MSICHANA)

Mwanamke au msichana kupata ndoa utotoni kabla ya umri wake miaka 18 na kupata mimba au kuingiliwa kimaumbile. • Hupatwa na madhara yafuatayo: A. Msichana kuingiliwa na mwanaume kabla ya umri ama wanaumri sawa au mwanaume anayemzidi umri. ( i) Hupatwa na magonjwa ya kupasuka mirija ya uzazi haswa kwa kuwa mwanaume ana nguvu na spems zinaweza kupasua mirija midogo ya kukomaza njia ya uzazi. Hivyo baada ya muda wa kubalehe mirija za uzazi ziko wazi - Hivyo kupata mimba inatunga nje ya mfuko wa uzazi. Hivyo basi mimba nyingi za namna hiyo huzaa kwa njia ya kupasuliwa (operation service) kwani -Mfumo wa uzazi hauna nguvu ya kupokea yai la kiume (ii) Mbegu za kike aliyeingiliwa na mwanaume aliye na umri mkubwa huacha kukomaa baada ya Hedhi yake kwani shahawa au mbegu za kiume zilizokomaa huvunja nguvu zaidi ya yule msichana.

No comments:

Post a Comment