Monday 1 August 2016

VIJANA WAPEWE NAFASI YA KUONGOZA NAFASI MBALIMBALI SERIKALINI

ili kuongeza speed kubwa ya maendeleo , serikali yetu haina budi kuweka misingi na fursa mbali mbali kwa vijana wenye elimu husika kushika nafasi mbali mbali kwenye mfumo wa serikali ya Tanzania
Vijana ndio wenye ARI YA KUONA MAENDELEO YANAWASAIDIA WAO NA JAMII KWA UJUMLA hivyo basi kuwapa fursa kutawasabishia waendeleze speed kubwa ya uzalishaji kwa Taifa na jamii yao.
SMGEO
P.O. BOX 6444
MOROGORO
Tanzania
smgeo2015@gmail.com

No comments:

Post a Comment